Mchezaji wa timu ya Co-operative ya Kenya, Mark Mayen akimiliki mpira huku akizongwa na mchezaji wa Urunani ya Burundi, Niagunduka Donde katika mchezo wa fainali ya mashindano ya kanda ya tano ya mpira wa kikapu iliyomalizika usiku huu kwenye uwanja wa ndani wa taifa jijini Dar es Salaam

 Washindi wa Pili timu ya Co-Coperative Bank ya Kenya
 Mashabiki wa timu ya Burundi
 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Leonard Thadeo (shoto) akimkabidhi kombe la ubingwa wa mashindano ya kanda ya tano ya mchezo nahodha wa timu ya Urunani ya Burundi leo
 mashabiki wa timu ya Urunani ya Burundi wakisherehekea ubingwa
 Mabingwa wa kanda ya tano wa mpira wa kikapu timu ya Urunani ya Burundi.
Wachezaji wa timu ya Burundi wanawake na wanaume wakiwa katika picha ya pamoja. Picha zote na Francis Dande wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...