Sehemu ya kipande cha Barabara ya Nyerere Road jijini Dar es Salaam kinachofanyiwa ukarabati kikiwa kimefungwa ili kupisha ukarabati wa barabara hiyo.Kipande hiki kinafanywa kunyanyuliwa kidogo juu kutokana tatizo la kujaa maji pindi mvua zinaponyesha.
Mafundi wakiendelea na shughuli ya ukatabati wa barabara hiyo.
Magari yote yakipita katika Service Road kutokana na ukarabati wa Barabara hiyo unaoendelea hivi sasa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...