Wafanyakazi wa boti ya Mistress wakiwa wamebeba samaki zilizovuliwa katika kisiwa cha Sinda wakati wa mashindano ya uvuvi  yajulikanayo kama Latham Open yaliyoshirikisha nchi sita  na kudhaminiwa na Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom Tanzania.
 Mwanamuziki Mark Hart kutoka Afrika Kusini akitumbuiza katika mashindano ya uvuvi yaliyofanyika katika kisiwa cha Sinda mwishoni mwa wiki, mashindano hayo yaliyoshirikisha nchi sita yalidhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania.



 Washindi wa  mashindano ya uvuvi ya Latham Open wakifurahia tuzo zao za ushindi mara baada ya kumalizika kwa mashindano hayo yaliyokuwa yakifanyika Kisiwani Sinda mwishoni mwa wiki na kudhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania.



  Mkuu wa Udhamini wa Vodacom Tanzania Bw. George Rwehumbiza (kulia) akimkabidhi zawadi  Alfred Charles kwa niaba ya timu yake baada ya kuibuka washindi wa kwanza kwa upande wa boti ya Mistress katika mashindano yaliyofanyika huko Sinda kisiwani mwishoni mwa wiki na kudhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzani
 Mkuu wa Udhamini wa Vodacom Tanzania Bw. George Rwehumbiza (kulia) akitoa zawadi kwa mshindi wa uvuvi kwa upande wa watoto Kyle Balarin (15) aliyekuwa akitumia boti  ya Tarkakatika mashindano yaliyofanyika kisiwa cha Sinda mwishoni mwa wiki, (katikati) ni Commodore Spiras Manoloudis wa Yatch Club akishuhudia utoaji wa zawadi hizo.



 Commodore Spiras Manoloudis wa Yatch Club jijni Dar es Salaam (kushoto) akitoa neon la shukrani kwa wadhamini wa mashindano ya uvuvi (latham Open) yaliyofanyika katika kisiwa cha Sinda hivi karibuni ambao ni Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, (kulia) Mkuu wa Udhamini wa Vodacom Bw. George Rwehumbiza.
 Kikundi cha Sanaa cha Jambo brothers kutoka Zanzibar kikionyesha sarakasi mbalimbali katika kisiwa cha Sinda wakati wa mashindano ya uvuvi (latham Open) yaliyokuwa yakiendelea kisiwani humo, ambayo pia  yalidhaminiwa na Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. wow i love this. Congrats vodacom

    ReplyDelete
  2. Hicho sio kikundi cha kutoka Zanzibar, ankal!!

    ReplyDelete
  3. Kumbe kuvua samaki sio kwa chakula tu hati mchezo kama boli vile. Hii kali

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...