Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan akipata Maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari[TPA] Bw Ephrain Mgawe kuhusu Upakuwaji wa Makontena Bandarini wakati wa Ziara yakutembelea Taasisi na Idara Zinazoshuhulikia Changamoto za Muungano
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan akitembelea na Kukagua Shuhguli zanazofaywa na Mamlaka ya Bandari kulia Mkurugenzi Mkuu[TPA] Bw Ephraim Mgawe wakati wa Ziara yake yakutembelea Taasisi Zinazoshuhulikia Changamoto za Muungano[Picha na Ali Meja}


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...