Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan akipata Maelezo kutoka kwa  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari[TPA] Bw Ephrain Mgawe kuhusu  Upakuwaji wa Makontena Bandarini   wakati wa Ziara yakutembelea Taasisi na Idara Zinazoshuhulikia Changamoto za Muungano
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan akitembelea na  Kukagua  Shuhguli zanazofaywa na Mamlaka ya  Bandari kulia Mkurugenzi Mkuu[TPA] Bw Ephraim Mgawe wakati wa Ziara yake yakutembelea Taasisi Zinazoshuhulikia Changamoto za Muungano[Picha na Ali Meja} 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...