Mdau Ayoub Mzee wa Ben TV ya nchini Uingereza akiwa na Mchezaji wa Ghana,Asamoah Gyan ambaye anakipiga katika timu ya Al Ain ya falme za kiarabu.pindi walipokutana nchini Uingereza hivi karibuni.
Home
Unlabelled
AYOUB MZEE USO KWA USO NA MCHEZAJI WA GHANA ASAMOAH GYAN
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...