Balozi wa Korea Kusini nchini, Young Hoon Kim ( kati kati) akibadirishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( kulia),wakati alipofika Ofisini kwake baada ya makabidhiano ya majengo ya madarasa , vyoo vipya na nyumba za walimu za Shule ya Msingi Mzumbe ,Wilayani Mvomero, ambazo sehemu ya fedha za ukarabati wake zilitolewa na Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Korea Kusini ( KOICA), ( kushoto) ni Mwakilishi Mkazi wa KOICA Ofisi ya Tanzania, Holywater S.S. OH.Picha na John Nditi.
Home
Unlabelled
Balozi wa Korea Kusini nchini akutana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...