25TH NOVEMBER-10TH DECEMBER, TANZANIA.
GROUP A                             GROUP B                              GROUP C
TANZANIA                           UGANDA                              SUDAN
RWANDA                              BURUNDI                             MALAWI
NAMIBIA                              ZANZIBAR                           KENYA
DJIBOUTI                              SOMALIA                             ETHIOPIA
CLASSIFICATION: The top two teams and the best two qualifiers from all the three groups qualify to the quarter finals.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Inafurahisha: "Tanzania Vs Zanzibar".

    Tanzania ni ipi na Zanzibar ni ipi?

    ReplyDelete
  2. Kwa nini ratiba inaonesha michezo yote inachezwa dar wakati walitangaza kuwa mashindano hayo yatafanyika Dar na Mwanza?

    ReplyDelete
  3. SASA NDIO WAKATI MUAFAKA WA KUJIGAWA WAZANZIBAR WAWE KIVYAO NA SISIS WA TANGANYIKA TUWE KIVYETU, SAWA KABISA KWANI HAWA JAMAA WA KIZENJI WANAPENDA SANA KUJITENGA NA MIMI KAMA MTANGANYIKA NAONA SAWA TU KWANI SIWAPENDI, KWANZA NAOMBA SERIKALI IWAPE PASSPORT ZA KIKWAO HAWAFAI NI WABAGUZI WAKUBWA

    ReplyDelete
  4. Tusichangae Tanzania vs. Zanzibar. Si wajua watanganyika hatutaki kusikia Tanganyika? Lakini ukweli hapa nilitegemea kuona Tanganyika na si Tanzania. Maana Tanzania ni sahihi kama hata Zanzibar inakuwa ndani, lakini sasa Zanzibar inajitegemea. Nafikiri watu wengi hatuujui vyema muungano. Kuna kila sababu ya kuwepo elimu ya muungano wetu kwa watanzania wote, ili tuutambue vizuri. Maana hii kitu ilipatikana kwa makubaliano ya watu wawili tu

    ReplyDelete
  5. Asante mtoa maoni wa kwanza. Ina maana ikatokea finali ikawa timu ya Tanzania na Zanzibar kutakuwa na wachezaji wa Zanzibar kwenye timu ya Tanzania? We need our Tanganyika back.

    ReplyDelete
  6. "Tanzania Vs Zanzibar" na kweli inafurahisha. CHADEMA wakiyasema haya ili mambo yawekwe sawa kila upande uridhike wanaambiwa wana fujo. Haya endeleeni kuwa wadanganyika!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...