Meneja wa Kinywagi cha Grand Malt,Consolata Adam akizungumza na wafanyakazi wa kiwanda cha Bia Tanzania (TBL) cha jijini Mwanza wakati wa uzinduzi wa chupa mpya ya kinywaji hicho,hafla hiyo imefanika jana kwenye viwanja vya kampuni hiyo,jijini Mwanza.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tbl Mwanza wakijipatia sehemu ya Zawadi za Grand Malt kwenye Tafrija hiyo iliyofanyika katika kiwanda cha TBL Mwanza jana na kuhudhuliwa na wafanyakazi wote wa kiwanda hicho.
baadhi ya chupa mpya za kinywaji cha Grand Malt zinavyoonekana mara baada ya uzinduzi huo,jijini Mwanza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...