Baadhi ya waumini walioshirki katika Ibada ya kuwaombea Mapadri waliofariki katika ajali ya gari eneo la Ruvu kwa Zoka mapema Wikii hii. Ibada hiyo lifanyika leo katika Parokia ya Pugu jijini Dar es salaam. Serikali iliwakilishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh Bernard Membe. Picha na Assah Mwambene

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mna majina yao?

    ReplyDelete
  2. Wastarehe kwa amani wamisionari hawa. Imeuma sana kwa kweli lakini ndio mapenzi ya Mungu.hatuna fursa hata ya kumwuliza dreva kwa nini alifanya vile yaani we acha Mungu. Mngu uwapokee watumishi wako.Amen

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...