KWA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA MSF WOTE!!!!

NAPENDA KUWAFAHAMISHA KUWA KUTAKUA NA KONGOMANO LA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA MSF SPAIN HAPA TANZANIA. 

KONGOMANO HILI LITAFANYIKA KATIKA UKUMBI WA LANDMARK TAREHE 12/11/2011 SAA TISA KAMILI,ALASIRI, JOHN MULLA NA WAWAKILISHI WENGINE TOKA MSF SPAIN NAIROBI WATAKUA HAPA NA MENGI YATAJADILIWA IKIWA NI PAMOJA NA UWEZEKANO WA KUFUNGUA OFFICE TENA YA MSF EAST AFRICA HAPA TANZANIA, TAFADHARI FAHAMISHA WOTE UWAJUAO. NA FIKENI BILA KUKOSA

KWA MAWASILIANO ZAIDI TAFADHARI WASILIANA NA

JOHN MULLA +254717415266

NB: NI KWA WALIOKUWA WAFANYAZI WA MSF BILA KUJALI KADA ZAO

HAJI LUKABA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. umesomeka mkuu, mwakilishi MSF ZANZIBAR MAMA MWENYEWE..
    ILU

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...