MAREHEMU KANAEL EDWARD NTALIMA

29.11.1998 - 29.11.2011

Ni miaka 23 tangu Mama yetu mpendwa ulipotutoka, kwa akili za kibinadamu ni vigumu kuamini ijapokuwa kimuonekano ni miaka mingi, ndani ya mioyo yetu bado tunaona ni kama jana tu. Unakumbukwa na wanao George, Pricilla, Matty, wakwe zako na wajukuu zako.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu akupumzishe mahali pema peponi. “Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe” Amen.

Misa za kumbukumbu zitafanyika tarehe 29/11/2011 saa 12.30 Asubuhi na tarehe 3/12/2011 saa 12.30 Asubuhi katika kanisa la Mtakatifu Maximillian Kolbe, Mwenge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Poleni sana, Mungu azidi kuwajalia umoja, upendo na moyo wa kujitolea, kama Mama alivyokuwa anapenda. Pumziko la Milele Umpe ee Bwana, na Mwanga wa Milele umuangazie. Mama Ryan

    ReplyDelete
  2. muchi mbona ni miaka 13, hesabu mekwenda kombo!

    RIP

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...