Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Leodegar Tenga ambaye pia ni Rais wa CECAFA, akipokea tuzo baada ya kutangazwa kuwa Balozi wa United Against Malaria Tanzania na mmoja wa viongozi wa taasisi ya Johns Hopkins nchini, Anna McMartney (kushoto) katika hafla ya kuyakaribisha mashindano ya Tusker Challenge Cup yanaliyoanza kutimua vumbi jijini Dar es Salaam jana. Hafla hiyo iliyoandaliwa na United Against Malaria  ilifanyika juzi jijini humo. Katikati ni Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukandara.
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Leodgar Tenga ambaye pia ni Rais wa CECAFA, akipokea tuzo  baada ya kutangazwa kuwa Balozi wa United Against Malaria Tanzania na mmoja wa viongozi wa taasisi ya Johns Hopkins nchini, Anna McMartney (kushoto) katika hafla ya kuyakaribisha mashindano ya Tusker Challenge Cup yanayoanza kutimua vumbi jijini Dar es Salaam leo. Hafla hiyo iliyoandaliwa na United Against Malaria  ilifanyika jana jijini humo.

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Leodegar Tenga (wa tatu kushoto) ambaye pia ni Rais wa CECAFA,akimtambulisha mmoja wa viongozi wa taasisi ya Johns Hopkins nchini, Anna McMartney (kushoto) kwa Mumbe wa CAF kutoka Afrika Kusini, Molefi Alephant (wa pili kulia) katika hafla ya kuyakaribisha mashindano ya Tusker Challenge Cup yanayoanza kutimua vumbi jijini Dar es Salaam leo. Hafla hiyo iliyoandaliwa na United Against Malaria  ilifanyika jana jijini humo. Wa pili kushoto ni  Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukandara na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Serengeti Breweries, Richard Wells.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hivi kwanini always kwenye matukio huchaguliwa watu wenye sifa zote kwani hawawezi kumpa mtu wa kawaida lazima awe anajulikana ndo achukue nafasi kama hizi???? nadhani tungebadilisha hiyo tabia na mawazo hayo!!

    ReplyDelete
  2. nafikiri ni nzuri sana kwa kiyongozi kama Tenga kujali afya ya watanzania

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...