Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, akimweka matone ya chanjo mmoja wa watoto waliochanjwa siku ya kwanza ya kampeni ya kitaifa ya Chanjo, Novemba 12, mwaka huu, eneo la Dumila, Kilosa.
Baadhi ya akina mama wa jamii ya kimasai na wengine wa Kata ya Dumila, Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, wakisubiri chanjo kwa watoto wao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...