Hi, Bro Naomba unitolea taarifa yangu hii!

Napenda kuchukua nafasi hii kuwataarifu watanzania walioalikwa kwenda kuhudhulia sherehe za miaka 50 ya uhuru Berlin tarehe 9.12.2011 waishio maeneo ya Aachen, Köln, Düsseldorf,Essen na vitongoji vyake, tafadhali sana tuwasiline katika email hii emmmy_27@hotmail.com ili tuweza kupanga mambo ya transport and accommodation.

Asanteni

"Emmy"

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Kuhudhulia!!!!! Elimu hiyo.

    ReplyDelete
  2. Lugha Gongana Watanazania sijui ndio watu gani rekebisheni juu hapo.

    ReplyDelete
  3. Michuzi mzee wakubania Comment ambazo hata si za kuchafua hewa na unasubiri Page mpaka isogee ndio uweke Comment.

    ReplyDelete
  4. Sasa huyu aliyetungika tangazo,mbona jina lake hataji? au cheo chake katika kamati ya watanzania huko ujerumani,naona kama ni tapeli fulani anakusanya email za watu

    ReplyDelete
  5. Asanteni wadau kwa masahihisho yenu,Tunajifunza kila siku na kiswahili ni lugha ngumu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...