Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu ya mikononi ya Airtel, Bw. Sam Elangallor akipokea tuzo na cheti cha heshima kwa kushika nafasi ya mlipa kodi kwa ridhaa kati ya taasisi 10 zilizochaguliwa. Tuzo hiyo imetolewa leo kwenye hotel ya Serena jijini Dar wakati wa hafla fupi ya maadhimisho ya miaka 5 ya siku ya mlipa kodi kwa taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali.
Home
Unlabelled
airtel yatuzwa cheti cha heshima na kombe kwa ulipaji kodi mzuri
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hivi hawa wanalipa kodi vizuri kushinda mie mfanyakazi (wa kuajiriwa na serikali) ambaye nakatwa PAYE kila mwezi bila mgogoro wala kuchelewesha!!!! ifikie hawa TRA watambue mchango wetu na kututunuku na sisi hayo makombe na kutufutia baadhi ya kodi ikiwezekana, say nataka kununua kiwanja basi wawe wanatupa incentive ya kutokulipia kodi wakati wa manunuzi. Maana Mfanyakazi huyo huyo alipia kila bidhaa anayonunua VAT. Ni maoni yangu tu.
ReplyDeleteWewe kuwa mpole, maana hautoi kodi kwa hiari. Utake usitake ni lazima ukatwe tuu. Sasa zawadi wanapewa wanaolipa kwa hiari, ambao kama wakiamua kutumia ujanja ujanja wanaweza kukwepa hiyo kodi
ReplyDeleteteh teh teh teh anon wa wed dec 07,01;00;00 am 2011 jibu zuri sana la ukweee
ReplyDelete