Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. Hana jipya huyu hawa wasanii wa bongo kazi ipo.

    ReplyDelete
  2. kaka samahani na mie bwanangu nanino....

    Dada wema
    dada wema kama huyu braza hakutaki usimlazimishe kuwa nae kumbuka siku zote mtu akikupenda huna haja ya kuueleza ulimwengu mambo yote huwa yanajileta yenyewe. kama si huyu basi kumbuka kunae wako ambae unaweza kuwa humwoni ila yuko tu tizama vizuri.

    all the best

    ReplyDelete
  3. WEMA USIPATE TAABU VUMILIA KIDOGO TU MIMI NITAJITAHIDI KUYAONDOA MAUMIVU YAKO YA MAPENZI ILA KWA SASA NIPO UGH'AIBUNI NATARAJIA KUJA BONGO WAKATI WOWOTE NITAKUTAFUTA JINA LA UTANI NAITWA SHANGARORO(USA) NAIMANI KWA UWEZO WA MOLA UTAYASAHAU YOTE YALIYO KUPATA.

    ReplyDelete
  4. Atazima kama alivyoanza.

    ReplyDelete
  5. temana nae unalazimisha mapenzi na wewe mwenzio jokate kashachukua mzigo mwachie yanini kushea ulimwengu mzima unajua heri ingekuwa siri hapo sawa sasa hivi haifai mteme wanaume wapo wengi khaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  6. Diamond, Mambo ya kurukaruka na warembo ukafkiri ni uanaume ni ya kizamani. Ujana maji ya moto, dogo tulia.

    ReplyDelete
  7. walikuwepo waliovuma bongo hii na leo wanaomba bia bar, ushauri wng kwa huyo dogo kwa kuwa shule hana ajitahid kujipanga kwa future yake, kuna umri utafika bongo fleva haiimbiki tena. ajifunze kwa waliuomtangulia hasa Mr. Nice!!!!!!!

    ReplyDelete
  8. pure childish (form two-ish) stuff going on. na watu wenye akili zenu mnalea hii tabia!!

    ReplyDelete
  9. mbona link yenyewe imekatika

    ReplyDelete
  10. yale !yale,kutumbuiza wabongo na wakenya lini?wasanii wetu watatumbuiza majukwaa makubwa ya ulaya?

    ReplyDelete
  11. Amempata mwingine alipokuja Uingereza? Haya we niliposema hawatadumu mlisema tunachonga sana. Within 3 moths yametokea.Waliovuma Tz ukimwi umewachukua haya haya ya kujiona mwanaume. Ila kumbukeni wazuri hawaishi

    ReplyDelete
  12. Ngono Zembe ni sera iliyopitwa na wakati ,kisasa ni malengo ya maisha tu!,,,hizi ni zile za miaka ya 90's, ile ya 80's na ile 1978 hukooo!

    ReplyDelete
  13. NAOMBA NA MM NIPIGIE MSTARI JAMANI...WASANII WENGI KAMA SI WOTE WALIOVUMA DAR WALIONDOKA NA NGOMA...MBONA HAWA DOGO HAWAELEWI!??!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?

    ReplyDelete
  14. Wewe mdau hapo juu usiseme wasanii tu walioondoka na ngoma hata maofisini,ktk makampuni,serikalini,majeshini nk. watu wengi wameodoka,ila kwa sababu wasanii wana majina wakifa ni lazima ulimwengu ujue ukilinganisha na wanaokufa maofisini nk.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...