Mchekeshaji Maarufu nchini ambaye ni Kiongozi wa Kundi la Vuvuzela Entertainment,Evance Bukuku akionyesha umahiri wake wa kuchekesha kwa mashabiki lukuki (hawapo pichani) usiku huu kwenye hotel ya Golden Tulip,iliopo Masaki jijini Dar es Salaam.
 Mchekeshaji Dogo Pepe akifanya vitu vyake wakati onyesho hilo,
 Mchekeshaji wa Kundi la Vuvuzela Entertainmet atambulikae kama Enika akiimboa moja ya nyimbo zake za vichekesho usuku huu.
Mchekeshaji kutoka Nchini Kenya,Mdomo Baggy akifanya vitu vyake.
 Mchekeshaji kutoka Nchini Uganda,Uncle Bob akifanya vitu vyake.

kwa picha zaidi za show hii ya funga mwaka

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...