KATIBU MKUU WA CCM NDG. WILSON MUKAMA, AKIMPONGEZA NDG. SIGMAR GABRIEL MWENYEKITI WA CHAMA CHA SPD ( SOCIAL DEMOCRATIC PARY ya UJERUMANI) baada ya kushinda Uchaguzi Mkuu wa Chama na kutetea tena nafasi yake kwa kupata asilimia 91 ya kura zilizopigwa. Uchaguzi huo ulifanyika tarehe 5/12/2011 Mjini Berlin. Mukama alialikwa na Chama cha SPD kuhuduria Mkutano huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...