Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad(kushoto)akibadilishana mawazo na Mwenyekiti mstaafu wa Chama hicho Bwana Msobi Magene alipokwenda kumtembelea na kumjuilia hali nyumbani kwake Mwanza hivi karibuni.Picha na Salmin Said-Ofisi ya Makamu wa Kwanza Wa Rais Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. kuna jambo hapo. kila siku hawaishi kumtukana Nyerere na Watanganyika. Hata muasisi wao James Mapalala walimtimua ktk chama.

    Wazanzibari tumeshawazoea. Wanatukumbuka watanganyika siku mambo yakiwaharibikia. Lakini wakishatoka kwenye matatizo yao wanarudi kulekule kurusha matusi dhidi yetu.

    ReplyDelete
  2. Ndugu ndivyo walivyo. Kugombana ni hali ya ubinadamu. Umaskini nao unachangia. Tugombane ila tusipigane.

    ReplyDelete
  3. Hii NDOA YA JINSIA MOJA kama wanavyoiita WAZANZIBARI ,HAINA TALAKA!

    (YAANI MUUNGANO)

    Kwa vile wao ndio wananufaika sana nayo!

    ILE SITAKI NATAKA YAO NI GERESHA TU!

    ReplyDelete
  4. mdau K.M (London)December 29, 2011

    wazee kama Musobi Mageni ushauri wao wenye busara unahitajika sana katika siasa ya Nchi yetu.

    ReplyDelete
  5. Kwani mzanzibari ni nani,msimuangalie maalim seif tu. Juzi kulikuwa na mtu akizungumza katika mgogoro wa ardhi zanzibar, jina lake Ramadhani Rupia, je rupia ni wawapi? Kule ni wadanganyika watupu ndio wanaoleta matatizo yote haya.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...