Mbunge wa jimbo la Namtumbo Ruvuma Mh. Vita Kawawa akiongea  mjini Namtumbo wakati wa mkutano wake na wananchi wa kata ya Namtumbo mjini  wenye lengo la kutafuta suluhisho la kero mbalimbali zinazowakabili wananchi wa kata hiyo. Kulia ni diwani wa kata hiyo  Bw. Alpius Mchucha,na kushoto ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa  Bw. Bakari Kayuni

 Mkazi wa kata ya namtumbo mjini Bw Athuman Kombo akihoji  juu ya kitendo cha mamlaka ya maji wilayani Namtumbo kuongeza gharama za huduma ya maji licha ya wananchi wa kata hiyo kukabiliwa na hali ngumu ya kiuchumi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya ccm wilayani humo,ambao ulihudhuriwa pia na mbunge wa jimbo ilo  Mh. Vita Kawawa
 Diwani wa kata ya Namtumbo mjini  Bw.  Alpius Mchucha,akifafanua mambo mbalimbali jana kwa wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara  kati ya mbunge wa jimbo hilo  Mh. Vita Kawawa aliyekaa katikati na wananchi wa kata hiyo



Diwani wa kata ya namtumbo mjini Alpius Mchucha kushoto na katibu wa afya wa   wilaya ya Namtumbo  Bw. Lucas Nela (katikati) wakijadiliana jambo na mbunge wa jimbo la Namtumbo Vita  Mh. Kawawa baada ya kumaliza mkutano wa hadhara uliofanyika juzi wilayani humo. 
Picha na Muhidin Amri wa Globu ya Jamii, Songea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...