Ankali taswira hii ilichukuliwa tarehe 24 October 2001 inaonyesha ile kona kali  pale Mlima Sekenke Mkoani Singida, hapa ni mahali ambapo wote waliobahatika kupita enzi hizo nadhani wanalikumbuka sekeseke lake, Wakati wa masika ni tope  Magari yanakwama kupanda na kushuka, Wakati wa kiangazi ni Dimbwi la vumbi magari kupanda ni kasheshe.Lakini sasa hivi ni Lami na nasikia njia imechepushwa haikupita hapo, hebu wapeperushie wadau wakumbuke enzi hizo.

Mdau Ughaibuni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. hhaha nimefurahi sana nAkumbuka enzi zile zangu za safari.SENKEKE ILIKUWA INASHINDANA NA CHIWETA.WE ACHA TU MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA WALIKUWA WAKISHINDANA HUYU AKISEMA SENKENKE NI NOMA MWINGINE AKANUSHA ASEMA HAKUNA WEE KITU CHIWETA.CHIWETA IPO NJIA MALAWI KWA WALE MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA NADHANI WANAIFAHAMU VILIVYO HII SEHEMU.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...