Familia ya Kawawa inasikitika kutangaza kifo cha marehemu Mzee Jaffari Mfaume Kawawa aliyefariki leo saa nne asubuhi jijini Dar es salaam.

Mazishi yatafanyika kesho saa kumi jioni jijini Dar es Salaam, Mbagala Rangi 3, maeneo ya Saku,  jirani na Kent Secondary.

Marehemu ni mdogo wake Hayati Simba wa Vita Rashidi Mfaume Kawawa, na kabla ya kustaafu alikuwa afisa katika Idara ya Uhamiaji kwa muda mrefu.

Mola aiweke mahali pema peponi Roho ya Marehemu.

AMINA.  
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. tunaomba kwa mungu ailaze pema peponi roho yake

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...