Mwanajumuiya wa New York Tanzanian Community, Shaillah Kishumbua akifurahia na baba yake mzazi  Mzee Mallya baada ya kulamba nondozzzz ya  Masters of Health Administration & Informatics katika chuo kikuu cha University of Phoenix Arizona.
 Mwanajumuiya ya New York Tanzanian Community, Shaillah Kishumbua akifurahia na baba yake mzazi  Mzee Mallya na mai hazbendi wake bwana Eliofoo Kishumbua (shoto) baada ya kulamba nondozzzz ya  Masters of Health Administration & Informatics katika chuo kikuu cha University of Phoenix Arizona.
 Hapa Shaillah akipozi na baba yake mzazi Mzee Mallya, Mume wake bwana Eliofoo Kishumbua na kijana wao aitwaye Kennedy Kishumbua.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Hongera Shaillah!

    Mie nimependa kiatu cha Eliofoo.... picha ya chini kabisa... ahahahahahah

    ReplyDelete
  2. Hongera sana wifi... siku nyingi ubarikiwe Mama!

    ReplyDelete
  3. Hongera sana Phoenix graduate. Umefanya kazi maana Phoenix si mchezo. (Ex graduate Phoenix 2009 ) .

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...