MZIGO WA NGUVU UMESHIKA KATIKA DUKA LA BRILLANTE MENS BOUTIQUE, AMBALO LIPO MAY FAIR PLAZA.AMBAPO UTAPATA VITU VYA NGUVU KUTOKA UGHAIBUNI.

KWA MAWASILIANO YAO 
 :+255 652 222324
EMAIL::briliantewear@gmail.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Ningeweza kuja ila jamaa anayetangaza amevaa hereni, kitu ambacho si utamaduni wetu wa Tanzania kwa wanaume kuvaa hereni. Sina uhakika kwamba vitu vilivyopo ni vya "kiume" kweli

    ReplyDelete
  2. mbona amevaa sanda?

    ReplyDelete
  3. Je hizo nguo alizozivaa baadae mnazichanganya na kuwauzia wateja?

    ReplyDelete
  4. Jamani huyu kaka anaitwa nani, mi nimem mind kwa macho tu lkn, ila ingekuwa poa km tungeambiwa Model jina lake nani.
    Hauwezi kujua labda ningetaka kumbook for my adverts.

    Very attractive bro

    ReplyDelete
  5. Kaka E umeuzaaaaa......ha ha ha ! Nitapita ofisini hapo kkujulia hali !

    ReplyDelete
  6. mtoa mawazo ya kwanza acha unafiki,pumbavu wewe...utamaduni wa mtanzania ni kuishi kwenye nyumba za tembe haya hama kwenye hiyo ya matofali pumbavu wewe!!hatuishi kwenye karne ya kumi na tano vitu vinabadilika,mnafiki mkubwa wewe.

    ReplyDelete
  7. upi utamaduni wa mtanzania? madau wa kwanza hapo juu, kukaa vijiweni na kuongelea mambo yasiowahusu ama kutolea macho mambo yasiyokuhusu, ubinafsi, wizi,kutokujali n.k, masai pia anavaa heleni ama ye si mtanzania.

    ReplyDelete
  8. Anon wa tatu. Wewe unashauri zipelekwe wapi? Mteja akichagua nguo na kwenda kujaribu kama zinamtosha/zinafaa asipozinunua unafikiri zinapelekwa wapi, kwa dobi??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...