Home
Unlabelled
NAPE AOMBOLEZA KIFO CHA KIM JONG IL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
We haya we,unamuaga dikekta mwenzenu...anabahati sana huyo kim kwani alistahili aionje dhahama aliyawapa na aliyowaachia raia wa NK...alitakiwa nae wamghadafi..ukiishi kwa upanga kufa kwa upanga...au alikuwa nae apelekwe kwenye labour camps alimowafunga wenzie kama wanyama..dunia itapumua kwa amani...alikuwa anatumalizia hewa..bora...thnx God!!
ReplyDeleteWewe sema tu na hizo historia za kuzisikia kijuu juu.Huyu ni mtu wa msimamo asiependa kutawaliwa hovyo.Kama kufanyiziana hiyo area yote wameshafanyiziwa na muamerika na kuuliwa kama kuku.Na hao wajapani wameshawaua wachina kama kuku mpaka leo wanayo siku yao ya kuomboleza kitaifa na hawaisahau.Wajapani haohao wamefanyiziwa na waamerika na kutupiwa nyuklia halafu leo wamewekwa kati na kuwafanya rafiki zao kama sio unafik ni kitu gani.Lazima mtu uwe na msimamamo usione tofauti ya south imechangamka na north wamejiinamia ni kwasababu wameekewa vikwazo vya kiuchumi ndio maana wanahangaika.Ngoja waamerika waanguke uone ile nchi itakavokuwa kwasababu sio wavivu kama sisi na technology wanayo.
ReplyDelete