Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. wanajeshi wetu tunawaona na tunawashangilia lakini wasiwe wanajeshi wa kunyanyasa raia baadhi ya sehemu kama kigamboni nk.

    wanajeshi wema ni wale wanaoweza kuilinda nchi yetu na raia wake

    story ni idd amin tu hakuna nyingine swali je vita vya uganda vulituhusu au tulijihusisha?

    asante ankali kwa kutuwekea video na picha.

    ReplyDelete
  2. mmh mkwara mzito hao wanajeshi wakishapata vyeo kidogo tu matumbo yatafika magotini badae hata kuinama hawezi

    ReplyDelete
  3. kuwa na vifaa vingi vya kivita haimaanishi kuwa ndio mahodari wa vita......maneno rwanda hapo nchi ndogooo wakiamua wanaifuta bongo kwa siku 3 tu wale wanaume wa vita.

    ReplyDelete
  4. HAHAHAHAHAHAAAAA ANKALI BANA VIFAA VYA KAZI VIPO JE WAJE WANAUME ALSHABAB..????

    ReplyDelete
  5. upuuzi mtupu... pole yenu ninyi makuruta

    ReplyDelete
  6. hahahahaha huo unaitwa mkwara soso,jamani mbavu zangu,upuuzi mtupu.

    ReplyDelete
  7. standard 7 wote hao

    ReplyDelete
  8. ujinga mtupu hakuna cha maana hapa

    ReplyDelete
  9. kama ukamandoo wa kuvunja vitofali vya udongo na kuruka hata hapa uswazi tunao vijana hao.

    ReplyDelete
  10. Ghaddafi aliwahi kufanya maonesho zaidi ya haya, ya silaha za Libya. wakati wa kupigana asing'olewe hazikuonekana. Mantiki ya kuoneshana vitu hivi katika siku ya uhuru (ambao tuliuata bila mapigano) haipo, ukizingatia kuwa nyingi hatujatengeneza wenyewe na wanaozitengeneza sasa wanazo kali kuliko hizo.

    ReplyDelete
  11. Mkwara huo ili tusiandamane .... tutaandamana tu hata mkitulipua!!

    ReplyDelete
  12. Mdau wa tatu (3) hapo juu weweee kama Rwanda wangekuwa na ubavu wa kuweka mkononi Tanzania siku nyingi wangelifanya hilo!

    Uliona juzi tu majeshi ya Serikali Congo DRC yaliwekwa mkononi na JWTZ yalipoingia TZ na vifaa vya kufa mtu kwa kuwasaka waasi?

    Jamaa Askari wa Congo DRC juzi tu wamesamehwa wamerudishwa kwao!.

    Rwanda wanaimezea mate Tanzania sana, ila wanashindwa Mtusi ana uchu wa mali kama Myahudi wa Israel usisikie!

    Eeee,,,TZ tuna matatizo kiasi ktk uendeshaji wetu wa masuala yetu ya kimaisha ,wala sio shida ya kukosa rasilimali

    Rwanda walidiriki kutuma majeshi kwa siri kwa Kabila DRC Congo migodini kupora madini, na juzi tu walivyobumbulukiwa kuwa uporaji uliandaliwa na Serikali ya Kigali kwa aibu wakarudisha tani 100 za madini ya Coltan mpakani kuikabidhi Serikali ya Kinshasa!.

    Weweee, ile shughuli ya Mbagala April 2009 na ya Gongo la Mboto Februari 2011 ilikuwa ni milipuko ya bahati mbaya tu lakini shughuli ilikuwa pevu, watu walijifungua kabla ya siku, je ingekuwa imelengwa Rwanda, asingetoka hata mtu mmoja ,si nchi yao ingekuwa juu chini chini juu, ingegeuka vumbi la majivu?

    Weweee,,, mziki wetu Kijeshi USIPIME ni mkubwa wewe, hao Rwanda kwa ukosefu wao wa rasilimali na wanavyotaka utajiri kwa uchu ingawa wana ufanisi ktk uendeshaji wa mambo yao, kama wangeweza muda mreefu wangeichukua Tanzania!

    ReplyDelete
  13. Mdau wa 3 juu nini Jeshi la Mkoa wa Rwanda?...Weee Majeshi ya DRC Congo yalivuka mpaka yakaingia TZ kuwasaka Waasi yamemezwa na mamba JWTZ juzi tu, yakatemwa na sasa wamerudiswha kwao!

    ReplyDelete
  14. "Tutaandamana tu,hata mkitulipua"..uongo huo, nyinyi hua hamuandamani! Mnakaa majumbani kwenu au kwenye mabaa, huku mnawatumia wengine, lkn. tushakushtukizieni!..Umeskia lini Moshi watu wakaandamana?..Mnajidai mnapinga ufisadi kumbe pesa zote zilizoibiwa zinapelekwa huko!

    ReplyDelete
  15. Mdau wa 14 hapo juu ...si umeona ktk Fisadi zote kubwa wadau walitokea Kaskazini tena mkoa wa Kilimanjaro huko huko Moshi na hela nyingi za Ufisadi zimewekezwa Moshi na Mafisadi Wachagga!

    Mchagga ambaye ndie CHADEMA halisi ndiye mwenye rekodi kubwa na chafu ya Ufisadi hapa Tanzania sasa mnataka kusema nini?

    ReplyDelete
  16. BONGO HAKUNA HD MPAKA LEO? WACHINA WANAFANYA NINI HUKO?

    POOR SOUND, POR PIX, POOR SUMMARISATION

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...