Kilimo cha Mananasi kimeshamiri Manyovu
 Mdau Richard Minja na Mkandarasi wa Kampuni ya Chico Mr. Xu-xuan wakinunua ndizi Sokoni Manyovu
 Barabara Mpya ya Kigoma -Manyovu..
 Ujenzi umeanza wa stand mpya Kigoma. Wataalamu wa Halmashauri, ambapo maafisa wa World Bank na Mkandarasi wakiwa katika ukaguzi
Resident Engineer wa barabara mpya ya Kigoma- Manyovu Eng. Ngogolo akiwa na Mdau Environmentalist Richard Minja  (kulia) mpakani mwa Tanzania na Burundi ambako hivi sasa mambo ni mswano

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. big up kigoma sasa bado grid ya taifa

    ReplyDelete
  2. Akhsante CCM!

    ReplyDelete
  3. JK kanyaga twende, ukiondoka madarakani ndo watu wataanza kukuelewa

    ReplyDelete
  4. Picha ya tatu kutoka juu hawa jamaa mbona wamesimama katikati ya barabara tena kwenye kona? Au hiyo barabara haijafunguliwa?

    ReplyDelete
  5. Kwa kweli hongera kwa maendeleo tunayoyaona ya Kigoma hata kama wapinga hayo watalalamika.

    Nilipokwenda miaka kadhaa nyuma kulikuwa na kipande tu cha barabara ya lami ambayo ilikuwa below standard. Vile vile kutoka áirport mpaka mjini utadhani unakwenda bush.

    ReplyDelete
  6. Hongereni Wataalamu,ila mnakagua eneo la ujenzi wakati hamna vifaa vya usalama? Ona wengine mmetinga mpaka kubazi,hali mkija kutukagua sie Wakandarasi wenu mnahimiza usalama kazi au nyie ni ajali-free!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...