UCHAGUZI WA TAIFA CHAMA CHA WAPIGA PICHA/TANZANIA CAMERAPERSON ASSOCIATION-TCA ULIOFANYIKA TAREHE 21/12.2011
- Ibrahim Mpinga Mwenyekiti
- Nsubi Mwambenja Makamu Mwenyekiti
- Halid Saleh Bilal Katibu
- Haji Mgwami Mjumbe
- Alex Ndambala Mjumbe
- Carolyne Zayumba Mjumbe
- Bahati Ntundu Mjumbe
- Joachim Mgidange Mjumbe
- Abdalah J.Chapa Mjumbe
- Abdalah Bugy Mjumbe
- Wilson Makuby Mjumbe
- Faraja Ngoroca Mjumbe
Uchaguzi ulisimamiwa na Uongozi wa TAFF. Na kushuhudiwa na wanachama wa TCA.
Mweka Hazina na Katibu ni nafasi za kuteuliwa,TCA ni mojawapo ya vyama tisa vinavyounda Shirikisho la Filamu Tanzania/Tanzania Film Federation-TFFA ,Mwenyekiti,Makamu Mwenyekiti na Katibu wanaingia kwenye Mkutano Mkuu wa TAFF na ndio wenye haki ya kupiga kura ya kuwachagua Viongozi na wajumbe wa TAFF.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...