Kufuatana na maafa ya mafuriko jijini Dar es Salaam, Wadau ambao kijiwe chao kiko Octa's Bar iliyoko karibu na Ubalozi wa Ufaransa (FRENCH EMBASSY) wajulikanao kama KNYGU Inv. waliguswa na janga hilo na hivyo kujikusanya ili kutoa msaa kwa wahanga hao. Katika vitu walivyovhangia ni pamoja na Nguo, Sukari, Maji, Dawa za Mbu, Sabuni za Kufulia, Sabuni za Kuogea na Mafuta ya kupikia.

Wadau hao waliwakilishwa na Richie Dillon, Adam Mkini, Joseph, Jerry,John Lukiko na Salum Rashid katikika kukabidhi msaada huo katika kituo cha Hananasif.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Safi sana wadau kwa moyo wa huruma mlioonyesha kwa wahanga wa mafuriko naamini Mwenyezi MUNGU atawazidishia.Pia nashukuru kwa niaba ya members wote wa OCTOR'S PUB ambao hatukuwepo kwa kutuwakilisha kikamifu.
    Asanteni sana
    BUYAMBA,S

    ReplyDelete
  2. Hongereni sana kwa michango yenu.Ni jambo la kuigwa na kila mwenye kuguswa na tukio hili

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...