Meneja mauzo wa Vodacom Kanda ya kaskazini Mr. Jerome Munisi akiwa na Msimamizi wa masoko Singida Wilson Maula kushoto na Meneja wa Duka la Vodacom Singida Mr. Shamsi Mohamed Kulia kabisa wakimkabidhi Hundi yenye thamani ya sh.million kumi na Moja mshindi wa promotion ya Mega promo ndugu Khamis Y Hussein katikati kutoka Singida kwenye hafla fupi iliyofanyika kwenye duka la Vodacom mkoani Singida.
Mshindi wa million kumi na moja ndugu Khamis Y Hussein kutoka Singida akiwa ameshikilia hundi yake muda mfupi baaada ya kukabidhiwa na Meneja mauzo wa kanda ya kaskazini ndugu Jerome Munisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nice to c ma skulmate..wilson..jite high..1997..ni kitambo kaka...
    TC

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...