Balozi wa Tanzania nchini Misri Mhe. Mohamed Haji Hamza akiwa katika mazungumzo na Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda (Mb) mara alipomtembelea Spika Ofisini kwake Dar es salaam leo kwa lengo la kumuaga. Mhe. Hamza aliteuliwa na Mhe. Rais Kushikia wadhifa huo hivi karibuni na anatarajia kuripoti katika kituo chake cha kazi mapema mwezi ujao.
Balozi wa Tanzania nchini Misri Mhe. Mohamed Haji Hamza akimuaga Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda (Mb) mara alipomtembelea SpikaOfisini kwake Dar es Salaam leo kwa lengo la kufanya nae mazungumzo na kumuaga. Mhe. Hamza aliteuliwa na Mhe. Rais Kushikia wadhifa huo hivi karibuni na anatarajia kuripoti katika kituo chake cha kazi mapema mwezi ujao. Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge.
Balozi Haji usikae kinyonge au unaogopa choyo na husda!!
ReplyDeletehawa jamaa tayari bado wanaaga tu? Miezi inapita tuu kazi zimelala.
ReplyDeleteMdau wa kwanza Balozi Haji amezisoma alama za nyakati!,,,Anaogopa kwa haki ni vile katika ngazi aliyofikia sio siri baadhi ya mambo watu wanachomekeana na kuharibiana!
ReplyDelete