MKURUGENZI WA BENKI YA POSTA TANZANIA(TPB),SABASABA MOSHINGI (KUSHOTO) AKIFAFANUA JAMBO KWENYE MKUTANO WA WAANDISHI WA HABARI,KUELEZEA MKATABA KATI YA BENKI HIYO NA TRA,AMBAPO MATAWI YOTE YA BENKI YA POSTA TANZANIA YANAPOKEA MALIPO YA KODI YA MAPATO NA MALIPO YA LESENI ZA UDEREVA.KULIA NI KAIMU MKURUGENZI KITENGO CHA ELIMU KWA MLIPA KODI ALLAN KIULA.MKUTANO HUU ULIFANYIKA LEO MAKAO MAKUU YA BENKI YA POSTA TANZANIA.
MKURUGENZI WA BENKI YA POSTA TANZANIA (TPB) SABASABA MOSHINGI (KUSHOTO) AKIPEANA MKONO NA KAIMU MKURUGENZI KITENGO CHA ELIMU KWA MLIPA KODI WA TRA,ALLAN KIULA KWENYE MKUTANO WA WAANDISHI WA HABARI,KUELEZEA MAKUBALIANO KATI YA BENKI HIYO NA TRA,AMBAPO MATAWI YOTE YA BENKI YA POSTA TANZANIA YANAPOKEA MALIPO YA KODI YA MAPATO NA MALIPO YA LESENI ZA UDEREVA.MKUTANO HUU ULIFANYIKA LEO MAKAO MAKUU YA BENKI YA POSTA TANZANIA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...