Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata Utepe kuzindua rasmi Jengo jipya la Makao Makuu ya Polisi lililopo eneo la Dunga, Wilaya ya Chake, Mkoa wa Kusini Pemba jana.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Kamishna Mkuu wa Polisi Zanzibar, Mussa Ali Mussa, wakati akimuelekeza baadhi ya maeneo muhimu yaliyo ndani ya Jengo jipya la Makao Makuu ya Polisi, wakati wa uzinduzi wa jengo hilo uliofanyika jana , eneo la Dunga, Wilaya ya Chake, Mkoa wa Kusini Pemba.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la Makao Makuu ya Polisi uliofanyika jana, eneo la Dunga, Wilaya ya Chake, Mkoa wa Kusini Pemba. Picha na Muhidin Sufiani-OMR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Huyo polisi wa kike juu kanifanya nitamani kazi ya upolisi ghafla.Afande Mwema naomba kazi ya upolisi na ukinipa naomba unipangie kituo cha kazi Pemba.

    ReplyDelete
  2. Ubaya hauna kwao, wala hauna kabila!

    Pana wimbi la Majambazi wa Kipemba mpaka huku Tanzania Bara, isichukuliwe ile historia ya wema na upole kwa watu wa huko ikawa kigezo!

    HAPO HAPO IMEKAA VIZURI, USALAMA WA POLISI NI MUHIMU!

    ReplyDelete
  3. We Anonymous wa kwanza Fri Jan 06, 05:11:00 PM 2012

    Acha Ubasha, Umende na Ubazazi wako!,

    Ohhh naomba kazi, Ohhh naomba nipangiwe kituo cha kazi Pemba!

    Kulaaleki,,,Dowezi wewe utapangiwa Mabwe Pande njia ya Bagamoyo kambi ya Waathirika wa Mafuriko ya Jangwani!

    Ungeuliza kwanza Afande wa Kike yawezekana ana mume, utauweza mziki wa mumewe Mpemba?

    ReplyDelete
  4. Nadhani polisi kuvaa tai si jambo la usalama kwao. Mhalifu anaweza kukusulubu kwa tai yako mwenyewe, labda iwe ya kupachika kwa juu (japo nayo inaweza kumpa mtaji kiaina).

    Mnaona Kenya jinsi wahalifu (hadi madereva tu) wanavyozichapa na polisi wakikamatwa? Nenda YouTube uone.

    ReplyDelete
  5. loh huyu dada mzuri

    ReplyDelete
  6. VP's sunglasses makes him look like a bigtime pimp!!

    ReplyDelete
  7. Mdau wa Fri Jan 06, 07:59:00 PM 2012

    lol huyu dada mzuri

    Ohooo Mumewe Mpemba, ukifanya mchezo utaamriwa kuchagua mawili 1.ugandamizwe nalo lote lote tena kwa staili ya rivasi au 2. usomewe kitabu?

    Ukikutwa shauli zako!

    ReplyDelete
  8. Utaukwaa kwa tabia hizo

    ReplyDelete
  9. Wewe uliyesema...lol huyu dada mzuri ,huogopi kudhaminiwa na mtandao wa tiGO?

    Ohhooooo Pemba hiyo vya wenyewe haviliwi burebure!

    ReplyDelete
  10. pemba hiyo baba wacheni ubasha mtakuja kuumizwa mtapigwa kitabu cha kichwa mgeuke wendawzimu wa kushinda chooni

    huyo aliesema kuvaa tai ni hatari kwa usalama wa polisi tai za polisi au securiti zinakuwa hazifungwi zinakuwa na vibanio yani ukivuta inatoka tu

    yakheeee polisi wa kwetu wanapendeza yakhee sio wa huko bara sura kama wamekula ndimu hahaha polisi wa kike wana vigimbi kwenye miguu

    ReplyDelete
  11. khaa we wa kugandamizwa nalo lote unavituko jamani. lol lol lol

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...