Meya wa Manispaa ya Ilala,Mstaiki Jerry Silaa akiwapa zawadi na kuwatakia kheri ya mwaka mpya kinamama walojifungua katika hospitali ya Amana usiku wa kuamkia mwaka mpya. Mstaik meya anawatakia wadau wote wa michuzi blog heri ya mwaka mpya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Ankali nafikiri wanaopiga hizi picha inabidi wapelekwe kozi ya maadili ya kazi zao ,sio vizuri kupiga picha za wamama wananyonyesha kama hii kisha kuweka kwenye public kwa manufaa yao ya kisiasa nk....hii sawa hata kidogo,mbona hawaweki za wake zao wananyonyesha????
    Ankali naomba uwe unaangalia ni picha gani zinafaa kuweka kwenye blog na zipi hazifai!

    Mdau

    ReplyDelete
  2. WEWE MDAU WA Sun Jan 01, 06:41:00 PM 2012,TATIZO HALIPO KWA MPIGAJI HUYO MAMA NDIYE GOGORO.MIJIWANAUME WOTE HAO,UMESHINDWA HATA KUJIFUNIKA KHANGA,NDIO NYINYI MUNAYEMFANYA MSTAHIKI MEYA AIETEMBELEE KILA MWEZI HIYO WODI.

    ReplyDelete
  3. Hii kwa kweli ni kazi ya mpiga picha katika wodi hii wakina mama huwa wanajiachia sana hasa ukizingatie hatuwa wilizopitia katika muda wa karibu. Vi vyema mpiga picha angalie picha za kuweka katika hadhara na za ndani.

    ReplyDelete
  4. @inabidi uelewe hapo yuko kwenye Wodi za kina mama,ina maana kama mama alikuwa anamnyonyesha mtoto aache kwa sasabu Jery kaingia?
    wapiga picha wetu hawajui maadili ya kazi zao,sio hapa tu nimeona picha za ina hii sehem tofauti ,na wakati mwingine kwenye TV ....SIO SAHIHI HATA KIDOGO....Michuzi kuruhusu hizi picha kwenye public kwa uzoefu wake ni kosa.

    ReplyDelete
  5. jamani nyie wote mnaolalamika ha mjui uchungu wa uzazi wa akinamama hawa,wametoka kuzaa bado wanaumwa hata kujeuka mtu huwezi wewe unalizia kujifunika?hii picha ni sawa kabisa.Hongereni kina mama kwa kupata new baby.

    ReplyDelete
  6. sioni shida yoyote na hii picha mtoto anapohitaji kula popote namnyonyesha siogopi midomo yenu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...