Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Philipo Mulugo (katikati) akitoa tamko kuhusu hatma ya wanafunzi waliofutiwa matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2011 ambapo Serikali imeamua watahiniwa 9,629 waliofutiwa matokeo kutokana na kubainika majibu yao kufanana kurudia mtihani wa darasa la Saba mwezi Septemba mwaka huu 2012 . Wengine ni Kaimu Mkurugenzi Elimu ya Msingi Zuberi Samataba(kulia) na Mkuu wa Idara ya Elimu ya Sekondari na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Charles Philemon(kushoto).Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO- Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. nadhani serikali inawaadhibu watoto ambao hawasitahili kuadhibiwa. nadhani ingekuwa vyema kama watoto hawa hawatapotezewa mwaka kwa kupewa mtihani mwingine sasa. nadhani ni rahisi kuweka kituo kimoja cha mtihani kila mkoa uliokumbwa na matatizo hayo.

    jamani tunawaumiza watoto hawa bure

    ReplyDelete
  2. Tuambiwe basi kwa kipindi chote watakuwa wapi? watahudhuria madarasani? watajisomea majumbani? watafundishwa au wataandaliwa na nani? na kwanini muda mrefu hivyo? Food for thought

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...