Mshambuliaji wa Timu ya Yanga,Khamis Kiiza akishangilia goli lake la kwanza alilolipachika dakika ya 36 ya mchezo huo dhidi ya Zamalek ya Misri kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo.
 Khamis Kiiza akishangilia na Mashabiki wa Yanga mara baada ya kufunga goli la kwanza.
 ubao unavyosomeka.
 Beki wa Yanga,Nadir Haroub Canavaro akichuana vikali na Mshambuliaji wa Zamalek,Omotoyosi Razack.
 Hatati langoni mwa timu ya Zamalek.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Yanga hongereni kwa ushindi maana nyie kutoa sare na waarabu ni sawa na kushinda.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...