Baadhi ya wajumbe waliohudhuria wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Co organizers wa Ifunda Tech Re-Union Day Benson Magehema akisisitiza jambo juu ya umuhimu wa kuwa na umoja wa wana Ifunda Tech na Donnasian Lugakiza Ishenda(mwenye miwani) na wajumbe wengine wakisikiliza kwa makini
Wajumbe wakisikiliza kwa makini mjadala wa kujenga umoja imara na wenye nguvu.
Paul Kassanga akisisitiza jambo huku wakongwe Dionis Rugai na Theophil Nangusu na wengine wakisiliza.
Hapa wakiienzi shule yao kwa kuimba wimbo wa shule, Ifunda the glorious.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. welldone my met ben, i was very much interested to attend the day but i didnt due to unforeseen cercamstances which made me not to attend, the distance being one of them.however i beleave every thing went right and i wish to know when is the next event

    rgds
    eng. hsm

    ReplyDelete
  2. Mihambo,group 4,class of 1994February 07, 2012

    aaah imenikumbusha mbali sana,ni mwanzo mzuri,keep it up.aah wazee wa Lyande,na mahindi ya vinyunguni,vizibo jee,achilia mbali kuuzoa na beche la mama sabi yanga.siku hazigandi.

    ReplyDelete
  3. tatizo walikula saa gambe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...