Hoteli ya Golden Crest iliyo katikati ya jiji la Mwanza ni mojawapo ya vikwangua anga vinavyomea kwa kasi katika jiji hilo maarufu kama Rock City. Inafurahisha na kutia moyo kwamba jengo hili linalomilikiwa na PPF limechorwa na wazalendo - Plan Associates chini ya Mkurugenzi wake Mzee Patropa Ndanshau
 sehemu ya Bar
 Mapokezi
 Ghorofa ya kwanza yenye mgahawa na baa
 Mgahawani
 Kwa nje
 Pamenoga....
Mzee Patropa Ndanshau, Mkurugenzi wa Plan Associates, wachoraji wa kikwangua anga hicho akionesha baadhi ya kazi kibao alizofanya.
Hakika wakiwezeshwa wazalendo wanaweza kufanya mambo makubwa!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Good job Mr. Ndanshau. Kweli the building looks amazing. Well planned. Nice, nice!

    ReplyDelete
  2. Je parking ya magari ikoje? Nina wasiwasi nayo hasa baada ya kusoma kuwa hoteli ipo katikati ya jiji!!
    Isije ikawa kama pale Mwanza Hotel, inabidi uka-park mtaa wa pili halafu urudi kwa miguu.

    Abiola JR.
    Mafia kiduka cha juice.

    ReplyDelete
  3. This flat is hardly 10 storeys, it is not even a sky scratcher, calling it a sky scraper is utterly embarrassing! Michuzi weka post yangu, maana ya kwanza umeweka KAPUNI, ulishasema wewee, huchagui, hubagui atakayekuzika humjui!

    ReplyDelete
  4. Hongera PPF, ni mfuko makini Na Wa kuaminika zaidi Tanzania Na uwekezaji makini uliofanyiwa utafiti Wa Mina. Go Ppf go!!

    ReplyDelete
  5. hivi hiyo hoteli pia inaendeshwa na ppf au wao ni wamiliki wa jengo tu?

    ReplyDelete
  6. Hivi Gold crest inamilikiwa na Watani nini??Asilimia 90 ya wafanyakazi wa hoteli hii wana asili ya huko..Serikali ilinde ajira nyingine kwa wazawa.Nililala hapo hivi karibuni,hadi wafagiaji ni jirani zetu.Lakini ni nzuri sana......

    David V

    ReplyDelete
  7. Wewe uliyeuliza Parking,wana Parking kubwa -Architects sijui wanaitaje parking- ile ya kupandisha gari juu kwenye floors kama nyoka anavyopanda mti ulio wima!(spiral).

    David V

    ReplyDelete
  8. Mdau Abiola, sual la parking limezingatiwa kwani kila floor in parking

    ReplyDelete
  9. Mdau Gold crest haimilikiwi na watani jua hilo ingawaje wafanyakazi wengi ni kutoka huko sababu unaijua ingawaje hutaki kuamini: Wabongo hawapendi kazi zaidi ya kupiga domo, wizi, uvivu na malalamiko kibao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...