Home
Unlabelled
kitasa cha mlango
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Bongo tambarare, kazi kweli kweli!!!
ReplyDeleteNa Polisi wa usalama barabarani wanaona tu, ila wanabinya macho tu!
Ikitokea ajali, eti ni bahati mbaya. Huo mlango unaweza ukasababisha ajali tena mbaya tu!
Ndio umasikini. Hata huko ughaibuni walianza kwa magari ya farasi!!
ReplyDeleteHilo lazima litakuwa ni gari la taka,ndo zao hao,gari kama Taka zenyewe,na maisha wanayafanya kama Taka!
ReplyDeleteAhlam UK
Hizi Isuzu za miaka ya 1960 hazina 'spea' tena nadhani au spea zake ni adimu.Hizo kwa Dar zinaokota TAKA.Kuna na Land Rover 109 na Bedford...Ndizo zilikuwa gari za serikali miaka ile na zilikua zinaandikwa vizuri milangoni na zilikuwa zinafanya kazi kweli za serikali.
ReplyDeleteOFISI YA MKUU WA WILAYA-KILIMO
OFISI YA MKUU WA WILAYA-AFYA
OFISI YA MKUU WA WILAYA-MIFUGO
OFISI YA MKUU WA WILAYA-AFYA
OFISI YA MKUU WA WILAYA-ELIMU
Ubunifu kaka,wee piga domo tu au ulitaka kitasa cha digital? Tuache na mambo yetu kwani maisha yanasonga mbele bila shaka.
ReplyDeleteGari za kuwasha mbele hizi teh-teh-teh ikikosa break hii huwa wanaizamisha pembeni kwa watembea miguu mtakoma.
ReplyDeleteUnajuwa Nyerere alikuwa zamani akilalamika nasikia kuhusu Magari ya Punda Mjini ni mengi yaanze kupotezwa ila ile tabia imerudi kwa njia nyengine ya Mkokoteni haina tofauti kabisa.
ReplyDeleteHizi ndio zile zile za kuwasha kwa kuzungusha chuma mbele kupiga hendel!
ReplyDeleteImenikumbusha kitabu cha kiswahili sijui darasa la ngapi vile miaka ya nyuma kidogo. Kulikua na hadithi moja ya askari aliyesimamisha gari, mlango wa dereva haufunguki,kuangalia akaona msumari umeegeshwa kiaina,alipouvuta duu! Mlango mzima ukadondoka!
ReplyDelete