Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana  na Michezo Dkt Emmanuel Nchimi akibapa maelezo toka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya upigaji picha Bw G.Makupa alipotembelea banda la GRM Production wakati alipotembelea Maonesho ya Harusi Trade Fair katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam. Nyuma yao ni mwandaaji wa maonesho hayo na gwiji wa ubunifu wa mavazi nchini Mustafa Hassanali


Mdau akitembele banda la GRM Production leo,
Kupata contact na habari kamili za GRM BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. kaka wa finlandMarch 31, 2012

    safi sana kijana

    ReplyDelete
  2. hapo naona kalenga miguu ya dada huyo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...