
Mtoto wa jamii ya wafugaji wa kabila la Kimasai mkazi wa kitongoji cha Makuture, Dakawa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro ambaye jina lake halikufahamika akinyonya maziwa ya ng’ombe kwa kutumia kibuyu huku akiwa amelala miguuni mwa mama yake. (Picha na John Nditi).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...