Home
Unlabelled
kiota kipya cha maraha kwa ajili yako weekend hii,kebby's hotel
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Taaamuuuuuu!
ReplyDeleteDuhhh hiyo chakula ktk sahani nilikuwa nimesha jishindilia Chai, Muhogo wa kuchemsha na Maharage yangu ya ngama hesabu niuwe winga hadi Usiku nikirudi Nyumbani,,,lakini sahani hii Lohhh kama mchwa wameingia tumboni kwangu na sasa Uchu umenishika NJAA INANIUMA!
Jamani wenye pesa Bongo hii wanafaidi, halafu watu wapo huko Majuu Ohhh Bongo Maisha magumu EBO!
mhh mi sipendi kuchanganya chakula cha moto na matunda!!!! kwangu mi naona tunda linakuwa la moto linakosa utamu
ReplyDeleteKwangu mimi huo haujawa msosi uliokamilika bado! Mimi kwangu hiyo ni kama appetizer tu, nikisha tafuna hiyo baada ya dakika 10 natakiwa nipate chakula sasa!!!
ReplyDeleteHiyo unatafuna kutoa uchu tu(bitings).