NAOMBA NICHUKUE FURSA HII TENA KUWASHUKURU WANAWAKE WOOOTE MLIOJITOKEZA NA KUITIKIA WITO WA KUJA KATIKA WOMEN CELEBRATION KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI, NASHUKURU SAANA WAHESHIMIWA WALIOKUJA KUNIUNGA MKONO AKIWEPO MHESHIMIWA UMMY MWALIMU NAIBU WAZIRI WA JINSIA ,WANAWAKE NA WATOTO ,PAMOJA NA MHESHIMIWA MBUNGE WA VIJA NA ARUSHA CATHERINE MAGIGE,KIWOHEDE VIKUNDI MBALIMBALI VILIVYOJITOKEZA,MASHIRIKA NA MAKAMPUNI YA WATU BINAFSI PAMOJA NA WAJASIRIAMALI NA MASHOST.

PIA NAWASHUKURU CLOUDS FM,KASSO ENTERTAINMENT,BAILEYS,KONAD NA I VIEW MEDIA

KUMRADHI

NA POLENI KWA MAPUNGUFU YALIYOJITOKEZA YAKIWEMO UPUNGUFU WA VITI (ambapo ulitokana na hotel kuwa na upangaji wao wa kuacha nafasi nasi tulifikiri vingine hatukujua tutapata watu wengi (xoxo) NA WENGI WENU KUTOKUJUA KAMA HAKUTAKUWA NA MSOSI, NA JOTO LILILOKUWEPO KUTOKANA NA MAFENI KUTOKUFANYA KAZI,PARKING KUKOSEKANA NK
NAKIRI KUNA MAPUNGUFU MEENGI YALIYOJITOKEZA

(bado naendelea kukusanya maoni na ushauri so nitumie kwenye comment hata kwa email shamyomy@yahoo.com, SIMU 0784 418941 )

NAKIRI HAYO NI MAPUNGUFU NA NINAYACHUKULIA KAMA CHANGAMOTO NA NINAAHIDI HAYATOJIRUDIA TENA KWANI MIE NI MCHANGA KATIKA KIPANDE HIKI NA NINAJIFUNZA NA BADO NATAENDELEA KUJIFUNZA .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. afadhali sikuja maana mbona aibu tupu!!

    ReplyDelete
  2. Kama unakiri kwamba wewe ni mchanga na unaendelea kujifunza katika shughuli hizi za EVENTS MANAGEMENT AND ORGANISATION, iweje useme kwamba mapungufu hayo hayatajitokeza tena?

    Mara nyingi kwenye maandalizi ya shughuli watu huwa mnaangalia zaidi mapato (pesa) na kusahau kabisa LOGISTICS! Iweje isiwekwe wazi kwamba hakutakuwa na chakula? Anyway, ndio Bongo hiyo...Watu wanajikusanyia mkwanja wanaondoka. Wajinga ndio waliwao!

    ReplyDelete
  3. siku zingine fanyeni shughuli kwenye sehemu isiyo very expensive ili mambo yawe mwaaaaa

    hii ilikuwa bomu sana full stop

    ReplyDelete
  4. Hongera sana mpendwa, wewe ni wa kuigwa. Kwanza umeomba msamaha kwa mapungufu, pia umesema utayafanyia kazi. Pia yaonekana hukutegemea watu wengi, lakini Mungu amekuwa upande wako. Ni shughuli yako ya kwanza na watu wamejitokeza wengi. Unaonekana pia unapenda kujifunza kutokana na makosa. mimi sikuwepo lakini kwa maelezo yako nakuona ni mtu mstaarabu sana. Ninaamini utayafanyia kazi mapungufu yote ili next time mambo yawe mazuri zaidi. Unyenyekevu wako utakuweka pazuri, usijali maneno ya wadau waliopita. Hawajazoea kukutana na watu wastaarabu kama wewe!

    ReplyDelete
  5. Kwani bibie ulikua na unenge?!

    ReplyDelete
  6. Watanzania wanakuonea wivu sasa wamepata cha kusema. lakini usikate tamaa. Kuna mengi yanachangia.

    ReplyDelete
  7. Shamimu nakufahamu toka tunasoma forest kwa patel morogoro u never give up and ua not a loose,so hata siku moja hakuna aliye mkamilifu.umekiri kosa move foward dnt look back.keep on walking like jonny walking..all the best.

    ReplyDelete
  8. hongera sana Shamim mi nakupenda sana na kukubali kwa juhudi zako mdada sijui ilikuwaje ukaenda kutuweka pale SERENA mamy while mwanzoni ile ya 5th annivesary nilikuja nilienjoy sana mpk nikaahid chochote uandaacho sitaacha kuja ni bora ungentuweka hata uwanjani leaders ila tupate ile roho inapenda kwa kwl this tym hukututendea haki ila umeonesha uungwana kwa kuomba radhi waungwana tumeelewa otherwise songa mbele tuko pamoja nawe

    ReplyDelete
  9. dada wewe ni mstaarabu sana, sikufahamu wala sijawahi kukusikia, lakini kwa kusoma tu nimegundua wewe ni mstaarabu. Watu wengi wanakosea hakuna anayejua kila kitu, lakini huwa wagumu kukiri! Big Up sissy! Next time utafanya mambo mazuri zaidi.

    ReplyDelete
  10. ...very rare people to apologize publicly even on visible and unscrupulous mistakes. You have done a courageous thing, congratulations. My advice is that Learn from your mistakes, plan for the better and come up again, BUT NEVER GIVE UP.

    ReplyDelete
  11. ni bora ulivyoomba radhi usichukue sehemu za hali sana kwani kuaford ni ngumu big up

    ReplyDelete
  12. jamani mpeni shamim hongera zake NANI alishawahi kuandaa event kama ile wamama wamejaa wa kila aina kuanzia wakawaida mpaka masuper star uchwara wa bongo wamekalia showoff tu waulize wana nini kazi kukashfu tu
    Binafsi zeze nimekuvulia kofia tuanaendaga kwenye event nyingine nusu viti wazi ILA WEWE UNAKIPAJI MDOGO WANGU CHA KUHAMASISHA SIKUIMAGNE KANGA INGEKUWA TAMU VILE WAMAMA WAMEPENDEZA ILA ,KUNA MMOJA ALIPANIA NA KUWAKICHEKESHO KILA SAA ANAPANDISHA NGUO NA KUJIONA KAFUNIKA,UKICHEKESHA OTHERWISE WENGINE WALINOGA.
    JAMANI YALIYOJITOKEZA YACHUKULIWE KAMA CHALLANGE WATU WAMELALAMIKA OOH JOTO ZEZE WA WATU ANAHUSIKAJE OOH HAKUNA CHAKULA WAENDA OUT KWELI 25000 YETU INGETOSHA NINI PALE WAKATI MAJI NI 3000 OOH HAKUNA VITI WANAOFANYA ARRANGEMENT NI WENYE VENUE WAO NDIO WALIMUANGUSHA ZEZE AMEWALIPA UKUMBI MWAJUA PRICE ZA PALE KUBWA TUNALOTAKIWA NI KUMSHAURI HUYU MDADA CHA KUFANYA NEXT EVENT
    LET SAY TUNATAKA DINNER & DANCE
    VENUE YENYE KURUHUSU MSOSI
    TUWE NA WATAALAMU WA UJASILIAMALI WA KUTOKA UDSM
    UTUTAFUTIE WAMAMA WALIOFANIKIWA KIBIASHARA WATUELEZE WALIANZIA WAPI NA WALIPOFIKIA
    UWE NA WATU WA KUKUSAIDIA HUWEZI FANYA KILA KITU WATU WA KUELEKEZA PALE KWENYE RED CARPET NA KWENYE INTERVIEW TAFUTA MTU MTAALAM
    WEKA ENTERMENT YA KUTOSHA WAMAMA WACHEZE NA KUFURAHI ILA VINYWAJI WAJITEGEMEE KUWE NA BAR
    ALL IN ALL MY DEAR KWA UMRI WAKO UMEJITAHIDI ACHANA NA WANAFKI WAO UKIWAPA HATA NUSU HAWAWEZI WEWE UMETUONYESHA UNAWEEEEEEEEEEEEZA KEEP IT UP

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...