Waziri Ujenzi Mhe. Dkt. John Magufuli akifungua jiwe la msingi kuashiria Ujenzi wa Majengo mawili ya Ghorofa kumi kila moja Mkoani Arusha wikiendi iliyopita.
Msanifu Majengo Mwandamizi wa TBA Arch. Deo Chubwa akitoa maelezo ya namna Maghorofa yatakavyokuwa pindi yakikamilika ujenzi wake mbele ya Waziri wa Ujenzi na Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo (TBA) Arch. Elius Mwakalinga atoa hotuba fupi kabla ya kumkaribisha Mh. Waziri Mkuu kuzindua Ujenzi wa Majengo hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yatabadilisha mandhari ya jiji la Arusha. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Ujenzi, Eng. Dr. John Ndunguru na katikati ni Mwenyekiti wa bodi ya TBA Dr. P. Ngwale.
Waziri wa Ujenzi Mh. Dr. John Magufuli akisalimiana na Meneja wa TBA Mkoa wa Arusha Eng. Dungamu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. wakumbuke mahala pa kuegesha magari sio kujenga migorofa tu na sehemu moja ya kuegesha magari

    ReplyDelete
  2. JItahidi magufuli, mwaka 2015 wewe tu!!!!

    ReplyDelete
  3. Magufuli, mbona husemi lolote kuhusiana na masahibu yaliyomkumba msaidizi wako namba moja?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...