WAZIRI wa Nchi Ofisi  ya Makamo wa Rais anayeshughulikia Muungano  Mh Samia Suluhu Hassan  akipata  Maelezo juu ya ufugaji wa Nyuki kutoka kwa katibu wa kikundi cha ushika cha kibokoni Bqw Khamis Suleiman alipotembelea kikundi hicho kinachofadhiliwa na mfuko wa maedeleo ya jamii (TASAF) Pemba, wakatikati ni Mkuu wa wIlaya ya Chake Chake Mh  Mwanajuma Majid .
 Mh Samia Suluhu Hassan akipata Maelezo kutoka kwa Bw Khamis  Feiz wakati akitembelea Ujenzi wa Barabara ya Ndugunkitu Mkoroshoni inayofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) 
Waziri Wa Nnchi Ofisi Makamo  ya Rais Mungano Samia Suluhu Hassan  akipata maelezo kutoka kwa Bw Daud Ismail  mkazi wa Wawi juu ya Bwawa la Umwagiliaji Maji katika Mashamba ya Dobi Wawi alipofika kutembelea mradi huo ambao unafadhiliwa na mfuko wa  Maendeleo ya Jamii  (TASAF) alipofika kukagua Ujenzi huo. Picha na mdau Ali Meja wa VPO.



Mfuko wa maendeleo  ya jamii TASAF umetumia jumla ya shilling bilon TANO kisiwani pemba tokea mwaka 2006 katika miradi mbali mbali ya maendeleo, kwa mujibu wa  maratibu wa mfuko  huo kisiwani Pemba, Bw Issa Juma Ali


Akitoa mchanaganuoa wa matumizi ya miradi ya TASAF unaofadhili wa na serikali ya jamuhuri ya muungano  Bw. Ali amesema kuwa katika mradi huo awamu ya pili wamefanikisha zaidi ya miradi 347 ambayo imepata ufadhili wa jumla ya shilling 5,544,696,611.

Alikuwa  akitoa  maelezo kwa  Waziri wa nchi ofisi ya Makamo  wa  Rais  anayeshughulikia Muungano Mh Samia Suluhu Hassan aliye  katika ziara maalumu ya siku tano kisiwani Pemba kukagua miradi mbambali ya maendeleo 

Miongoni mwa miradi ambayo ametembelea ni pamoja na mradi wa ufugaji nyuki kibokoni  ambao umefadhiliwa jumla ya shilling million kumi hadi sasa. Pia takatika zira hiyo mradi wa umwagiliaji maji wa DOBI WAWI ambao umepatiwa ufadhili wa jumla ya milon 39,947,710, ambao utwanufaisha jumla ya wananchi 2000i utakapo malizika .



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...