Mwakilishi wa Baraza la Wawakilishi jimbo la Uzini, Mohammed Raza Dharamsi akiapishwa na spika wa baraza la wawakilishi Kivicho katika kikao cha Baraza la Wawakilishi kichoanza leo mjini Zanzibar.Raza ameapishwa kufuatia kuibuka kidedea katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo, uliofanyika mapema mwaka huu na Raza kuibuka na ushindi wa asilimia 61.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera kwa muheshiwa Razza M/Mungu akusaidie katika kiapo chako hicho na kuzika tafauti zako za awamu zilizopita na kufikiria kujenga Zanzbar mpya badaya ya majungu na mipasho huu si wakati wake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...