Mgeni rasmi wa fainali za Safari Darts ngazi ya Taifa,Afisa utamaduni wa mkoa wa Mwanza,Bi. Rosemary Makenke akikabidhi zawadi kwa mabingwa wa mashindano hayo Taifa timu toka mkoa wa Mwanza baada ya kufanikiwa kuibuka washindi wa jumla kwenye wa fainali za mashindano ya safari lager Darts championship yaliyofanyika jijini Mwanza usiku wa kuamkia leo.
Mwenyekiti wa Mchezo wa Darts Taifa,Bwana Gesase Waigama akizungumza na wachezaji,viongozi na washabiki mbalimbali waliohudhuria kwenye mashindano hayo.
Vikombe vikiwa tayari tayari kwa kwenda wa washindi.
Mchezaji wa timu ya Darts mkoa wa Mwanza akirusha kishale kwenye mchezo wa fainali za mashindano ya safari lager Darts championship yaliyofanyika jijini mwanza usiku wa kuamkia leo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...