Mshambuliaji wa Uhuru Publications akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa New Habari katika mchezo wa michuano ya kombe la NSSF kwenye uwanja wa TCC Chang'ombe,jijini Dar es Salaam. New Habari ilishinda bao 1-0.
Mchezaji wa Uhuru Publications akimiliki mpira,huku mabeki wa timu ya New Habari wakimzonga zonga.
Waamuzi wa mchezo huo.
Wachezaji wa New Habari 2006 wakishangilia baada ya kuibuka na ushindi mnono wa bao 1-0 dhidi ya Uhuru Publications.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...