Mshambuliaji wa Uhuru Publications akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa New Habari katika mchezo wa michuano ya kombe la NSSF kwenye uwanja wa TCC Chang'ombe,jijini Dar es Salaam. New Habari ilishinda bao 1-0.
Mchezaji wa Uhuru Publications akimiliki mpira,huku mabeki wa timu ya New Habari wakimzonga zonga.
Waamuzi wa mchezo huo.
Wachezaji wa New Habari 2006 wakishangilia baada ya kuibuka na ushindi mnono wa bao 1-0 dhidi ya Uhuru Publications.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...