Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipandisha mlima Kilimanjaro wakati alipokwenda  kwenye la Mamlaka ya Maeneo  Maaluum ya Uzalishaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA) Mabibo jijini Dar es salaam leo kuzindua Bodi ya Wakurugenzi wa EPZE
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiongozwa na Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka  ya Maendeo Maalum ya Uzalishaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA), Dr. Adhelm Meru  (kulia)kutelemka kutoka kwenye Mlima Kilimanjaro wakati alipokwenda  kwenye eneo hilo Mabibo jijini Dar es salaam leo kuzindua Bodi ya EPZA. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...