Mdau Amani Masue ambaye yupo nchini India leo katika pita pita zake katika maeneo mbali mbali ya nchini humo,alijikuta kaibukia katika eneo hili.ambapo alivutiwa na jina la eneo hili na kuamua kuchua taswira ya kibao kinachomtaka mtumiaji wa njia ya eneo hilo kwenda pole pole.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. accident porn area indeed... lol

    ReplyDelete
  2. LOL. Badala ya "Accident prone area"

    ReplyDelete
  3. Mbona hamna kosa "he meant what he mean"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...